Sunday, June 2, 2013

SUA GRADUATE ENTREPRENEURS COOPERATIVE(SUGECO)




 
Picha ya wahitimu wa moja ya chuo kikuu, wakiwa katika mahafali. 
farm-chicken-4[1]
 Kijana mjasiriamali akiwa katika mradi wake wa ufugaji wa kuku

SUA GRADUATE ENTREPRENEURS COOPERATIVE(SUGECO) ni ushirika wa wajasiriamali wahitimu wa chuo kikuu cha Sokoine(SUA) waliojiunga kwa pamoja kwa lengo la kujiajili kupitia kilimo na ufugaji. Lengo la SUGECO ni kuunganisha nguvu ili kumudu changamoto za mitaji zinazowakabili wahitimu wengi wa vyuo vikuu wanapenda kujiajiri baada ya kumaliza masomo yao. Wanachama wa SUGECO ni wahitimu wa SUA wanaojihusisha na kilimo, ufugaji wa kuku, samaki, ukamuaji wa mafuata ya alzeti, ukaushaji wa mboga mboga na matundana kilimo cha mazao.

Chama hicho kimewanufaisha wahitimu wengi ambapo benki ya CRDB imeweza kuwakopesha kiasi cha sh. 550 milioni. Mpango huu ambao umeungwa mkono na Rais, Mh. Kikwete unaonesha kuleta mafanikio katika kuleta ajira mpya kama utaendelezwa na kusimamiwa vizuri.

SUA WAWETHUBUTU, WAMEWEZA.. VYUO VINGINE JE!!!!,WAPI MUCCOBS? WAPI UDOM? WAPI TUMAINI N.K

No comments:

Post a Comment