Friday, August 3, 2012

FASO YATEMBELEA CHUO CHA KILIMO NA UFUGAJI MWANGARIA.

 Katika harakati zake za kupunguza umaskini kwa kuimiza kilimo na ujasiriamali, shirika la FASO limetembelea chuo cha kilimo na ufugaji cha MWANGARIA kilichopo kata ya KAHE,Moshi Tanzania.Lengo la ziara hiyo lilikuwa kujenga mahusiano kati ya shirika la FASO na chuo hicho. Mahusiano hayo yamezaa matunda kwa kuanza kuandaa semina ya mafunzo kwa vijana katika kata ya KAHE.

Meneja miradi ya FASO, Ndg .Moringe akipeana mkono na mkuu wa chuo hicho, Mzee Ngitiama

Mkurugenzi mtendaji wa FASO,Bw.Mbele akipeana mkono na mkuu wa chuo hicho cha kilimo, Mzee Ngitiama.

Baadhi ya madarasa ya chuo hicho.


No comments:

Post a Comment