Monday, July 9, 2012

FASO YATOA SEMINA KWA WAKAZI WA RAU.

Katika kuendeleza harakati za kuleta mabadiliko (hasa kiuchumi)  katika jamii FASO ilitoa semina fupi kwa wakazi wa kata ya RAU MADUKANI, Moshi mjini. Semina hiyo ilihusu kushawishi wananchi kujiunga katika vikundi vya kuweka na kukopoa (VICOBA). Semina ilifanyika katika mkutano wa hadhara wa kata ya RAU ulioitishwa na viongozi wa kata hiyo viwanja vya RAU madukani mjini Moshi..


 MKURUGENZI MTENDAJI WA FASO NDG. INNOCENT MBELE AKITOA SEMINA HIYO KWA WAKAZI WA RAU.
WAKAZI WA RAU KATIKA SEMINA YA VICOBA.

No comments:

Post a Comment